SERIKALI YATOA WITO KWA WADAU WA AFYA KUTATUA CHANGAMOTO YA WATUMISHI SEKTA YA AFYA
Na Mwandishi wetu – New York, Marekani. Serikali kupitia Wizara ya Afya, imewataka Wadau wa Sekta ya Afya kuimarisha ushirikiano ili kutatua changamoto zinazokabili eneo la rasilimali watu wa sekta ya afya. Wito huo umetolewa na Waziri wa Afya Mhe Ummy Mwalimu wakati akishiriki mjadala uliofanyika jijini New York, Marekani pembezoni mwa Mkutano wa 77
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed